RIWAYA JELA YA KICHAWI SEHEM YA KUMI NA MBILI MATENDO YA KISHOGA YANAONEKANA KATIKA USHIRIKINA

RIWAYA JELA YA KICHAWI
MTUNZI GADI MLWILO
SEHEM YA KUMI NA MBILI

ILIPOISHIA......
Ilikuwa ni siku ambayo sitoisahau
katika maisha yangu kwani ni siku
ambayo nilianza kufundishwa kula
nyama za watu na kunywa damu za
watu kwa kulazimishwa na wazee wa kile kijiji “endapo utashindwa basi wewe ndiye utakuwa chakula chetu cha kesho”, maneno yale yalifanya niogope na nijikute najaribu kula kipande kimoja cha stake kavu ya kuchomwa “kwa-kwa-kwa-kwa” yalisikika makofi yaliyo ambatanishwa na shangwe nyingi kutoka watu nikagundua kumbe watu wengi walikuwa wakisubiri nilifanye lile
tendo.

SONGA NAYO.....11

Katika maisha yangu ilikuwa ni siku
ya kwanza kula nyama ya binaadamu
na niligundua kwanini wale watu
walipenda sana kula nyama za watu
yaani kwa kweli nyama za binadamu ni nyama ambazo naweza kusema ni nyama tamu kuliko nyama ya mnyama yeyote yule katika dunia. Nilijikuta nikila na kunywa damu katika kundi lile la wazee, mambo mengi yalifanyika bado nikawa napewa elimu na kila ninae kaa naye.

Vijana wengi pale kijijini
walionyesha kunichukia kwasababu
nilipendwa sana na wazee ambao nao
waliamini mimi nimechaguliwa na
mizimu yao na kunijari hata baadhi ya kazi ngumu mimi sikuzifanya.

Maisha mapya katika dini ya
kichawi yaliendelea nilijikuta kuanza
kuyazoea yale maisha na kufanya
mambo makubwa zaidi yaliyo wavutia
wengi katika kile kijiji, sikumkumbuka tena babu Ally wala ndugu zangu zaidi
niliisubiri siku ya ndoa yangu na Janeth
aliyekuwa anafungiwa ndani kama
mwali.

Nyakati za usiku nimejilaza
naitafakari asubuhi ambayo ndio siku
iliyosubiliwa kwa hamu na watu ili
kushuhudia ndoa itayo fungishwa na
mkuu wawachawi Afrika Mashariki ambaye alikuwa ameingia usiku ule na watu wengine walio msindikiza.

Asubuhi ilifika tulielekea sehemu ya
mizimu ambako tuliamliwa kuvua
nguo zote na kubaki watupu kama
tulivyo zaliwa bwana Ramadhani Abdul
Ramadhani aliomba mizimu ikubali
ndoa yetu ili tuwe mwili mmoja,
alipomaliza tulishauliwa kufanya tendo
la ndoa mbele ya halaiki ya watu
kama kutuunganisha, niliona aibu lakini
nikajivua ufahamu na kumshika
Janeth ambaye nilimlaza juu ya kaburi
la mzimu mkuu wa kijiji lililokupo
eneo lile na kuanza kuufanya ufusika
mbele za watu.

Ilichukua muda kama wa dakika 25
kumaliza lile tendo ambapo
tulipomaliza watu walishangilia na
kuimba nyimbo nyingi sana kwa furaha.

"kijana unaonekana una nguvu sana safi
sana nimevutiwa na wewe, jambo la
msingi naomba ANIMUNI yenu
niwapeleke sehumu nzuri ambapo
hamkuwahi kufika wala kupahisi katika maisha yenu na huko huenda watu wakubwa tu hivyo mtakwenda kujifunza mambo mbali mbali” sikuwa na jinsi ilinibidi kukubaliana nae tena kwafuraha sana.

Sikuhiyo hiyo baada ya kusherekea
kwa kula kunywa na kucheza mimi
mke wangu Janeth na Ramadhani Abdul
Ramadhani pamoja na timu yake
tulianza safari usiku ule mbaka ufukwe wa bahari ulioko nchini Kenya “Ramadhani Abdul Ramadhani” alijitambulisha niliona njia yakuingia majini “nifwateni” wote tukamfwaata.

Tuliende mbaka chini ya bahari
ambako nilishangaa kuona majengo ya
kifahari yaliyo jengwa kwa madini
tofauti tofauti na maadhari zilizo vutia,
ukijani uliokuwepo eneo lile utafili
ulikuwa wa kuchora vumbi la dhahabu
ndilo lililo tawala ardhini.

Tulingia katika jengo kubwa sana
liliokuwa na vitu vya thamani
sana bwana Ramadhani Abdul
Ramadhani alituonyesha chumba kilicho
andaliwa kwaajili yetu, chumba kilikuwa ni kizuri sana ukutani kulikuwa na picha za viumbe vya ajabu, picha zenyewe
zilikuwa ni picha za mapenzi kutoka
kwa wale viumbe tukawa tumepumzika
tukipiga stori na my lovely Janeth.

Alikuja kijana mmoja chumbani
kwetu na kuniita “unaitwa na mkuu”
nilisimama na kumfwata Janeth
nikamwacha amelala nilimkuta
Ramadhani ameketi kitandani akiwa kifua wazi “karibu kijana” “ahsante” “karibu ukae” kulikuwa hakuna kiti zaidi ya kile kitanda basi nikakaa.

Wakati tunapiga stori nilikuwa
simwelewi vizuri bwana Ramadhani
alikuwa ananishikashika mara ajilaze
mapajani kwangu baadaye alipoona
sielewi chochote ilibidi aongee tu “kijana
wakati ukifanya lile tendo la
ndoa na mkeo pale kaburini ulitokea
kunivutia sana sasa namimi ninataka
unifanyie vile” nilishituka kusikia vile
nikawa na hisi yawezekana
Ramadhani alikuwa ni shoga “hapana
haiwezekani” niligoma kufanya vile.

Nilishangaa kuona Ramadhani
akivua suruali na kunisogelea “endapo
hutokubaliana na hili nitakufanya kitu
kibaya sasa hivi” aliongea huku
akinivua nguo nilibaki natetemeka
akautoa uume wangu na kuuweka
mdomoni mwake na kuanza kuunyonya nikawa kama sijielewi baadaye akachukua mafuta na
kunipaka sehemu zangu za siri na
kujipaka makalio yake na kuniamlisha
nifanye atakavyo ilibidi nifanye vile ili
nimuwahi mke wangu Janeth, lakini
nilipomaliza bado Ramadhani
alining’ang’ania nilale nae ndani kwake.

Usiku ule hatukulala tulikesha na
Ramadhani nikimfuraisha nafsi yake
mbaka kuna kucha asubuhi ilipofika
nilirudi chumbani kwangu nikamkuta
Janeth ameketi kitandani akilia “Janeth
kuna nini tena” hakunijibu ila
aliendelea kulia, ikabidi nimdanganye
“nimeambiwa tukiwa katika nyumba hii
takatifu hatupaswi kufanya tendo la
ndoa mbaka siku zote tatu zitakapo
kwisha ndipo tutaruhusiwa” kidogo
Janeth akanielewa.

Siku zote tulizo ishi mle ndani
nilikuwa nikimridhisha Ramadhani
ikafika kipindi nikaanza na mimi
kunogewa na ile michezo. Siku tatu
zilipopita tulipelekwa sehemu na
kukabidhiwa nguvu za kichawi na
kuchemshwa kwenye vyungu siku nzima “sasa mmekuwa watu wakubwa sana na
mnaweza kuondoka na kuishi maisha myatakayo” tulikabidhiwa watu wakutusindikiza mpaka kijijini kwetu.

Hakuna maoni