Wiista baada ya kujitoa Navy Kenzo na kuanza kufanya project za pekeake Aliachia ngoma inaitwa 'naiye' moja kati ya ngoma zilizo kuwa pendwa kwa warembo.
Hatimaye jamaa kadondosha mzigo nwingine unaitwa one change fanya kuupakua hapo chini
#Me_Nawe
Posted by Gamideetz Gadi Mlwilo on Wednesday, September 6, 2017
Hakuna maoni