Manchester United watauanza msimu ujao wa mwaka 2016/2017 kwa jezi mpya uliotengenezwa na kampuni ya Adidas ambao wamesaini mkataba mpya na kampuni hiyo baada ya
kampuni ya Nike kumaliza mkataba na klabu hiyo.
#Me_Nawe
Posted by Gamideetz Gadi Mlwilo on Wednesday, September 6, 2017
Hakuna maoni