
Kupitia The Play List ya Times Fm Chid amesema hayo ikiwa ni ishara ya kutorudi nyuma na kusonga mbele kupitia muziki wake
Ikumbukwe kua Tale ndie ambaye amemsadia Chid kurudi katika muziki wake na afya pia. "Kunawakati mi nasemaga Boss Tale anajipendekeza kwangu hivyo kama mtu anapesa zake hana shida yoyote lakini anajipendekeza kwangu kwanini mimi nisijishushe?" Alisema chid benz
Pia amemtaja Juma Nature, Prof Jay, Mr Blue na marehemu Ngwea pamoja Ranga kua ni wasanii ambao anawakubali sana. Na amekomaa na kauli yake ya wasanii ambai wametengeneza kuwa yeye hakuna msanii wakufananishwa naye kwenye muziki wa kuchana kwakua yeye anamiliki Tuzo tano na hakuna msanii wa hip hop ambaye amewahi kuchukua tuzi Tano
Hakuna maoni